Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,265
Naomba nitambue uwepo wa zwenge ndaba
Hana baya zwenge ndaba 💪💪💪Naomba nitambue uwepo wa zwenge ndaba
Duh , najua mapenzi ni do me I do you .. got my back I got yours ..Ngoja ukuwe kwanza... In 20's bado kujua mapenzi.
Ata mimi namuona maeneo fulani yaHana baya zwenge ndaba 💪💪💪
Pamoja arifuNaomba nitambue uwepo wa zwenge ndaba
Ila mkuu kumbuka ngono isiyo rasmi - Kuna magonjwa,nuksi na mikosi - maana tendo halihusishi miili Bali roho pia.Nimesema hivyo BSE nimetoka kupigwa na kitu kizito , nlijiachia kwa mamiloo Leo nimefound out kaolewa , .
That's why I said what I said bro .
Wala siyo tatizo, Yes najua uko na umri huo.Duh , najua mapenzi ni do me I do you .. got my back I got yours ..
Hivi Kuwa too honest ni tatizo ?
Nieleweshe .. I'm in my mid 20s
Mmmnhhhh😂😂😂😂mbona mhusika sijui hiliiii
Ahsante sister .Wala siyo tatizo, Yes najua uko na umri huo.
Yaendee taratibu na uwe makini, suala zima la afya yako. Una future yako so usikubali, mapenzi yakuharibie chochote mbele yako.
Mapenzi yapo utayakuta, tulia focus na unachofanya. Utakuja kuoa utaichoka hata hiyo mbususu yenyewe...
Ushauri kutoka kwa dada yako
BL.
Nimekuelewa brotherIla mkuu kumbuka ngono isiyo rasmi - Kuna magonjwa,nuksi na mikosi - maana tendo halihusishi miili Bali roho pia.
Mnapofanya tendo, ujue mnabadilishana au kuunganisha nguvu zenu, matendo na muunganiko wenu.
Utapoteza nguvu,muda na hata mapato- mwisho aibu na magonjwa tu
Kuwa makini to whom you are attached with.
Wee Mwachi nimezoom hapo kwenye zipu, hamu zote umeziondoa nikajua nitathaminisha kitu 😎🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nikasema leo nikamsalimie john walker
Dah mshikaji una feli kutoka kumuita mrembo mpaka sister 😂😂😂 komaa nae bhnaAhsante sister .
🤩
Aisee usiposikia na hapa, then sycological hauko sawa, sema Bantu Lady umekua my ...bossWala siyo tatizo, Yes najua uko na umri huo.
Yaendee taratibu na uwe makini, suala zima la afya yako. Una future yako so usikubali, mapenzi yakuharibie chochote mbele yako.
Mapenzi yapo utayakuta, tulia focus na unachofanya. Utakuja kuoa utaichoka hata hiyo mbususu yenyewe...
Ushauri kutoka kwa dada yako
BL.
Kashezi sana wewe ivi kwanini wanawake mnapenda kuchunguza iyo sehemu dahWee Mwachi nimezoom hapo kwenye zipu, hamu zote umeziondoa nikajua nitathaminisha kitu 😎🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Don Mwachiluwi ndo kanipa za ndaniiiiMmmnhhhh😂😂😂😂mbona mhusika sijui hiliiii