JamiiForums Usiku wa manane
Mwenzenu mimi nina tabia hii, lazima niangalie mwanaume eneo la zipu. Yaani hata my Man anajua hili 😂😂😂😂😂 sijui na si kwamba sijui napenda kuzagamuana walaa sipendi. Basi tu
Fah sikushangai sio peke yako ni wengi mpo ivyo nakumbuka tukiwa chuo tukitoka kwenye mechi unasikia mademu wanasemezana et umeliona la furan alikuwa akikimbia nalo linakimbia nilikuwa nachukia ase ila now naona kawaida
 
Fah sikushangai sio peke yako ni wengi mpo ivyo nakumbuka tukiwa chuo tukitoka kwenye mechi unasikia mademu wanasemezana et umeliona la furan alikuwa akikimbia nalo linakimbia nilikuwa nachukia ase ila now naona kawaida
Hebu rudia kupiga nyingine ikiwa dusge inaonekana bana. Hujapatendea haki, hiyo sehemu 😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom