Dahan
JF-Expert Member
- Oct 26, 2022
- 2,758
- 6,318
Hapanaa nimechelewa kidogo lindon.. Nilikua nalaza vifaranga vya watu mwaego.. 😂😂😂
Hapanaa nimechelewa kidogo lindon.. Nilikua nalaza vifaranga vya watu mwaego.. 😂😂😂
Unashida wewe ...Nina allergy na maji 🤣🤣🤣
Mi napenda kuyanywa tu sio kuyaoga 🤣🤣
Sasa huyo aliyekataa kuoga yupo toka jana..Hapanaa nimechelewa kidogo lindon.. Nilikua nalaza vifaranga vya watu mwaego.. 😂😂😂
😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌Na hilo joto la mabibo lakini bado huogi.. 😂😂😂😂
Nilivyokuwa form 4 Arusha nilipiga siku 47 nilikuwa napiga msuli kinoma no water mpaka nikaanza kutema kama dampo wenzangu wakaniambia oy bro unazingua asee ndo nikaamua kuingia chemba asee nilitumia lisaa mkuu ni maukurutu hayaishi mwilini 🤮🤮🤢🤢Ungekaa njombe wewe..... 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Usingeoga miaka..
Ndo maana nimesema napenda kunywa maji tu sio kuogaUnashida wewe ...
Sasa si utapungukiwa maji mkuu mwilini
Yeah nipo private hivyo ratiba za huku ni tofauti 😵Aaaaaah kumbe.....
Ahahahahah ulikua ukiambiwa mbona uogi unasema *" nimekuja kusoma sio kuoga"" alaaaaahNilivyokuwa form 4 Arusha nilipiga siku 47 nilikuwa napiga msuli kinoma no water mpaka nikaanza kutema kama dampo wenzangu wakaniambia oy bro unazingua asee ndo nikaamua kuingia chemba asee nilitumia lisaa mkuu ni maukurutu hayaishi mwilini 🤮🤮🤢🤢
Sema nilingara after 4 daah aiseeh acha tu 🤣🤣🤣🤣
👍👍👍 Hapo saw... Enjoy life banaYeah nipo private hivyo ratiba za huku ni tofauti 😵
Hayo hayatoshi pia 😂😂😂Ndo maana nimesema napenda kunywa maji tu sio kuoga
Uzuri ilikuwa single sex hivyo kidume zaidi inapigwaAhahahahah ulikua ukiambiwa mbona uogi unasema *" nimekuja kusoma sio kuoga"" alaaaaah
Maji muhimu kwa akili ya ubongo sawa
Mwendo wa kupuliza tuuu....😂😂😂😂Uzuri ilikuwa single sex hivyo kidume zaidi inapigwa
Mi sio mpenxi wa movie 🤮🤢🤢👍👍👍 Hapo saw... Enjoy life bana
Mda huu najua upo kucheki vitu vya Netflix au netnaija...?
Khaaaa ajabu hiyo...Mi sio mpenxi wa movie 🤮🤢🤢
Mimi ni muziki tu 😊😊 movie hapana 😠
Hata wenzangu wananishangaaga sana ila ndo nilivyoKhaaaa ajabu hiyo...
Allergy wapii.. Uchafuuu😂😂😂😂Nina allergy na maji 🤣🤣🤣
Mi napenda kuyanywa tu sio kuyaoga 🤣🤣
Mie mwenyewe nipo tangu kitamboo😂😂😂Sasa huyo aliyekataa kuoga yupo toka jana..
Ukija mimi toka juzi alafu unasema tuingie lindoni 🤓🤓🤓🤓🤓 hadi asubuhi
Ahaahahahahah wapi unabahatisha tuu... Ebu sema ni kipi kimefanya mpaka sasa hvi ujafumba machoMie mwenyewe nipo tangu kitamboo😂😂😂
Muhindi ajawahi acha mtu salamaDaah ndio nmeamka hapa kuangalia mikeka yang kama ime win🥲🥲..... Ahsante kanji umejua kuninyoosha week hii😔😔😔