JamiiForums Usiku wa manane
Kama huna unachoelewa hapo ujue una usingizi
20230206_204546.jpg
 
Daaah yani tangu nimejaribu kulala ni majanga tu, naota ndoto moja tu kuwa sina nguvu kila nkidondoka nashindwa hata kuongea 😃😃. The energy within nai feel kabisa lakkini kila nkijaribu kumove siwezi mimepambana hhapa nimeamka sina hamu tena ya kulala..... na hapo usingizi ulinichukua saa aita tu 😃😃. Mwenye utaaalamu na haya mandoto em aje plz
 
Daaah yani tangu nimejaribu kulala ni majanga tu, naota ndoto moja tu kuwa sina nguvu kila nkidondoka nashindwa hata kuongea 😃😃. The energy within nai feel kabisa lakkini kila nkijaribu kumove siwezi mimepambana hhapa nimeamka sina hamu tena ya kulala..... na hapo usingizi ulinichukua saa aita tu 😃😃. Mwenye utaaalamu na haya mandoto em aje plz
Ngoja waje
 
Back
Top Bottom