Young fadson
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 1,195
- 1,423
Huna kwa sas, lakin kesho waweza kua nae, be prepared kwa loloteSina mtu kwaio siwezi gundua chochote hapo😂😂😂 ni ukakasi tuu
Huna kwa sas, lakin kesho waweza kua nae, be prepared kwa loloteSina mtu kwaio siwezi gundua chochote hapo😂😂😂 ni ukakasi tuu
Pulizioo bi manee DahanKukuhonga wewe nitaweza kweli😂😂😂 mbona unaanza kunishindaaa😅😅
U kunikanaling o laivu DahanSina mtu kwaio siwezi gundua chochote hapo😂😂😂 ni ukakasi tuu
Anakutania tu, Dahan ashaolewa na Intelligent businessmanHuna kwa sas, lakin kesho waweza kua nae, be prepared kwa lolote
🤣 kumbe ni experiencedAnakutania tu, Dahan ashaolewa na Intelligent businessman
Ndo mnavyo jitetea😂😂😂😂🤣🤣mwanaume ni nguzo ya familia, mwanamke kiumbe dhaifu, akipata mchongo anaenda mazima lakin baba hukumbatia vyote , atasimama na familia pia mchepuki utahudumiwa pasipo kuathiri
Team kataa ndoa😂😂😂Anakutania tu, Dahan ashaolewa na Intelligent businessman
🤣🤣🤣 tulia nae bwana, akipata zari ndo umetoboa ivoAkuu sitaki..usiniharibie kabisaa maana Nawewe jobless ukipata zali huko la kaz ya 2m itakuaje? 😂😂
Mi iz kibakaling tu, wi take mane. Jioni wi zagamulianaling DahanAkuu sitaki..usiniharibie kabisaa maana Nawewe jobless ukipata zali huko la kaz ya 2m itakuaje? 😂😂
Asante bro kwa ushauri, Nina imani Dahan atauzingatiaa.maana nikija kuwa tajiri Kama mengi asinilaumu kwa kumpuuzia🤣🤣🤣 tulia nae bwana, akipata zari ndo umetoboa ivo
Wee subiri utapata vyoote unavovitafuta.. Swala la muda 2..😂😂😂🤣🤣mwanaume ni nguzo ya familia, mwanamke kiumbe dhaifu, akipata mchongo anaenda mazima lakin baba hukumbatia vyote , atasimama na familia pia mchepuki utahudumiwa pasipo kuathiri
Pulizioo my hati is kwenda mubioo DahanTeam kataa ndoa😂😂😂
Apo ndo stage hua tunachukua kombe letu mbe ya adui almarufu kama 50 kwa 50 au haki sawaWee subiri utapata vyoote unavovitafuta.. Swala la muda 2..😂😂😂
Wanaume wengi tu mmebarikiwa kwenye swala la kugawanisha upendo.. Yaan unaweza kuwa na mchepuko na bado ukampenda mkeo.. 😂😂😂
Wanawake tukihama tunahama mazima mambo ya kugawa upendo wengi wetu haiwezekan.. Ukiona mchepuko anapendwa ujue upendo kwa mume umeishaa kwa asilimia kubwa.. 👌
Tilasti mii, I am single toka nimezaliwaWeee nani akubali unichimbe saevi hunaa na badae ukipata pia uchimbe mwingine😂😂😂😂
Yajayo yatafurahisha... 😂😂😂Usisahau kutuletea feedbackApo ndo stage hua tunachukua kombe letu mbe ya adui almarufu kama 50 kwa 50 au haki sawa
Eeh hutaki shobo umetukuta sio.. 😂😂😂😂Tilasti mii, I am single toka nimezaliwa
Tilasti mii, iam singoo toka nimezaliwa DahanWeee nani akubali unichimbe saevi hunaa na badae ukipata pia uchimbe mwingine😂😂😂😂
🤣🤣 ili tutumie pamoja mavunoYajayo yatafurahisha... 😂😂😂Usisahau kutuletea feedback