JamiiForums Usiku wa manane
Naombeni mtu aview my profile, aone kama ananiona niko wapi kwa sasa, nikimaanisha jukwaa gani ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
Mtu atajua upo jukwaa fulani kwa kusoma your last text. Kwa mfano Kama hii uliyoiandika mtu akiingia kwenye profile yako inamuonesha ulikoment kwenye uzi wa "Usiku wa manane" probably inajulikana huo uzi unapatikana jukwaa gani. Nadhani umeelewa hapo๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
 
Mtu atajua upo jukwaa fulani kwa kusoma your last text. Kwa mfano Kama hii uliyoiandika mtu akiingia kwenye profile yako inamuonesha ulikoment kwenye uzi wa "Usiku wa manane" probably inajulikana huo uzi unapatikana jukwaa gani. Nadhani umeelewa hapo๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
Okay hii sawa. Sitaki ionekane palepale kama ni pm ama hapa muda huu. Mimi najiona kuwa niko hapa ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Inaonekana mwezi niliojoined basi siyo current jukwaa ama activities nayoifanya si ndiyo my bodyguard?
Bodyguard cjui anafanya kazi gani.. Mbona mimi naona hadi your last comment au yeye anaangalia wapi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ na hii kazi ikushinde urudi kuwa jobless twna Intelligent businessman jaman๐Ÿ˜ข
 
Okay hii sawa. Sitaki ionekane palepale kama ni pm ama hapa muda huu. Mimi najiona kuwa niko hapa ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
PM hawezi kujua mpaka awe na password, Ila ukitaka asione chochote just "ignore" kwa mhusika Ila sasa atajua tu kuwa umemfanyia umafia which is........๐Ÿ™†๐Ÿคฃ
 
Back
Top Bottom