JamiiForums Usiku wa manane
Siku hizi naacha tu On sina jinsi. Mimi zaidi umemisika pia 😘
Basi utakuwa unaweka bundle la mwezi mzima na notifications on maana so kwakukutaja tu and all over the suddenly you just showed up over here😀
Kwa maisha ya battery ya simu yako uwe unazima tu data mpaka pale utakapotaka kuitumia. Ni ushauri tu lakini
 
Basi utakuwa unaweka bundle la mwezi mzima na notifications on maana so kwakukutaja tu and all over the suddenly you just showed up over here😀
Kwa maisha ya battery ya simu yako uwe unazima tu data mpaka pale utakapotaka kuitumia. Ni ushauri tu lakini
Asante kwa ushauri best. Nikimaloza hapa tu nazima data. Ubarikiwe, nilikuwa nazima sema ile ishu inabidi niache On. But kwa ushauri huu nitazima tu.
 
Naombeni mtu aview my profile, aone kama ananiona niko wapi kwa sasa, nikimaanisha jukwaa gani 😄😄😄😄😄
 
Asante kwa ushauri best. Nikimaloza hapa tu nazima data. Ubarikiwe, nilikuwa nazima sema ile ishu inabidi niache On. But kwa ushauri huu nitazima tu.
Don't tell me things are ain't yet settled btn you guys🤔 calls za kawaida si zipo kumualert mtu kuwa "washa data". Any way fanya vile uonavyo ni vyema zaidi my dear
 
Don't tell me things are ain't yet settled btn you guys🤔 calls za kawaida si zipo kumualert mtu kuwa "washa data". Any way fanya vile uonavyo ni vyema zaidi my dear
Kila kitu kiko poa kabisa sasa, yeah bora kualeart kwa simu ya kawaida. Lazima nizime ndiyo maana bundle la mwezi natumia wiki 🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom