MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,452
- 69,332
No, I wasn't......!Hope you were just joking muraa
No, I wasn't......!Hope you were just joking muraa
Nasubiria ile unalala, utakutana na hayo manyoka ya davinciKwani mie nimekosea nini 😒😒😒😒 kamuagano tu.. imagime mtu yupo na kanga moko au night dress.. asee
Hapo nyoka hawezi fanya kitu kwasababu unakuwa hujatoa hormones zina ashiria wasi wasi kwasababu huna idea.. nyoka anajilinda anaposikia harufu harufu ya hizo hormones anakuwa anajua kimewaka hapa so lazima ajilinde ila kama upp normal mna hug kabisaZanzibar nilitaka kumshika kabisa alikua kwenye kitasa. Mimi nawenge la usingizi naangaza kitasa sikioni naona dude limejizingira tu😅
Ila kweli🤔Nyoka wanapenda sana wanawake.....
Unakumbuka alimtembelea Eva mke wa Adamu ???
I respect you, so I will never diss you broNo, I wasn't......!
Aiseee!Ila kweli🤔
Inawezekana ni specie moja hawa
So do I......I respect you, so I will never diss you bro
Nimelala mao sana hao.. tena nilipokuwa na lala kulikuwa na koboko wa kutosha yani.. 😅😅😅hivo vinyoka havinisumbui navielewa akili zao... niachie mmoja lati ya hao wawili mzeee.. acha ubinafsiNasubiria ile unalala, utakutana na hayo manyoka ya davinci
Ninabahati mbaya ya kukutana nao...Hapo nyoka hawezi fanya kitu kwasababu unakuwa hujatoa hormones zina ashiria wasi wasi kwasababu huna idea.. nyoka anajilinda anaposikia harufu harufu ya hizo hormones anakuwa anajua kimewaka hapa so lazima ajilinde ila kama upp normal mna hug kabisa
Hogo massacre utaweza mkuu😂😂😂Waamze kuni care, mbona hawatojutia
naweza vizuri tu, anza kuni care then nita reaspond 😊😊😊 hadi hutojutiaHogo massacre utaweza mkuu😂😂😂
Hiii Dahan unataka nimwage ubongoo woteeSa wee unasema kichwa tuuu kwan ina mabega io😂😂😂😂 toa yotee😏😏😏
Dahan naona umeanza usaliti kwa mbaliiii, sema you are always royal to meHogo massacre utaweza mkuu😂😂😂
Ushazoe vya kunyonga, so vya kuchinja huviwezi Bantu Lady and Dahannaweza vizuri tu, anza kuni care then nita reaspond 😊😊😊 hadi hutojutia
Dahan na Bantu Lady hebu zidisheni, ili huyu mpiga chaboo apasuke macho na masikioSema una mazuri jamaa anafaidi , acha atambe
Unalalaje mwenyewe mremboUliyeweka hilo joka futa bana...
Wengine tunalala wenyewe na tunashtuka shtuka usiku. Usiku wa manane huu na hayo mavitu wapi na wapi? Aah
NIjibu nini Dahan 😊😂😂😂😂 Half american njoo ujibu huku😅😅😅😅
Tutaenda km ngap saa hii? 😂😂😂Halafu Bantu Lady ulisema utanifundisha style ya popo kanyea mbingu ili nikamringishie Dahan
Unazotaka Dahan nipeleke unavyotaka ili nitulieTutaenda km ngap saa hii? 😂😂😂
Kucare c ndo huko sasaa😂😂😂utaweza kuruka sehem ya kutembea?... Tuandae lavender na karafuu 😂😂😂naweza vizuri tu, anza kuni care then nita reaspond 😊😊😊 hadi hutojutia