Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
mwamba yupo siriazi
Sasa si ndo atupe na location mapema humu tutalia peke yetu bora tukienda kwenye msiba tutalia wengi
mwamba yupo siriazi
Mimi pia aweke wazi tujue tatizo ni nini, binafsi nimesoma ujumbe wake nimejiskia vibaya kwa hali anayoipitia.Sio poa... Ananikata stimuuu😭
Sasa unamuogopea nnSiwezi ase na msikia kaenda chooni nime komaa kukimbia nashangaa kabaki na boksa dah hapa napigwa baridi naogopa kwenda room nikienda nimekwisha
Natamani pia iwe hivyo, ila siwezi kukudanganya kaka. Hakuna jinsi ndo ipo hivyooBasi hauna sababu ya kuhuzunika kiasi hicho mkuu. Nna imani tutazidi kuwa pamoja
Sasa unamuogopea nn
Sasa pisi yako inakubakaje 😂Kubakwa si umesema nikaze
Ni nini tatizo mkuu.. Mbona wani huzunishaNatamani pia iwe hivyo, ila siwezi kukhdanganya kaka. Hakuna jinsi ndo ipo hivyoo
Nakosa hata cha kusema zaidi ila pole sanaNatamani pia iwe hivyo, ila siwezi kukhdanganya kaka. Hakuna jinsi ndo ipo hivyoo
Worry out bro, ila aiseeeeeeNakosa hata cha kusema zaidi ila pole sana
Kama ni kitu ambacho unahisi hakuna namna unaweza kukisema au kueleza then ni vizuri ukikaa nacho kimya moja kwa moja kuliko ku-tease watu hivi, unless uwe unatafuta attention.Natamani pia iwe hivyo, ila siwezi kukhdanganya kaka. Hakuna jinsi ndo ipo hivyoo
Kama ni kitu ambacho unahisi hakuna namna unaweza kukisema au kueleza then ni vizuri ukikaa nacho kimya moja kwa moja kuliko ku-tease watu hivi, unless uwe unatafuta attention.
Uwe na usiku mwema.


umechukiaAnazingua huyo, acha abaki na mambo yake.umechukia
Anazingua huyo, acha abaki na mambo yake.
Atakua anataka tenaa😅😅😅 na jamaa hatakiiiSasa pisi yako inakubakaje 😂
Pambania kombe tusikusaidie uanze shuka kamasinimechoka sasa yy anataka tena
Tutamsaidia shauri yakeAtakua anataka tenaa😅😅😅 na jamaa hatakiii
Hajamjua intelligent bado😂😂😂Una bembeleza mpaka unachoka ase