JamiiForums Usiku wa manane
Kama nitakwenda,Basi natamani nikumbukwe kwa mema. Najua hatujawai onana but tulikua poa.

Sina shida na mtu ila maisha lazima yaendelee, kudos to everybody ambao tuli hang hapa.

Sorry to everybody maybe niliwauzi kutokana na utani, hasira, kupanic but I love and respect you all.

Kifo kipo kwa kila mtu but unaumia zaidi unapojua na kufahamu mwisho wakooo but salute to youuu
Maybe in next life Kama ipoo, tutaonana kwa muumba

Bantu Lady Dahan boss Mwachiluwi Half american Mr kenice mzee wa kudoji Suchack
Oya Intelligent businessman ni nini shida mbona watujaza hofu mkuu? Tuweke wazi unayopitia hata kama hatufahamiani. Pole kwa hali unayopitia na usikate tamaa kamwe, enjoy and thanks God for every second of life in this universe.
 
Kama nitakwenda,Basi natamani nikumbukwe kwa mema. Najua hatujawai onana but tulikua poa.

Sina shida na mtu ila maisha lazima yaendelee, kudos to everybody ambao tuli hang hapa.

Sorry to everybody maybe niliwauzi kutokana na utani, hasira, kupanic but I love and respect you all.

Kifo kipo kwa kila mtu but unaumia zaidi unapojua na kufahamu mwisho wakooo but salute to youuu
Maybe in next life Kama ipoo, tutaonana kwa muumba

Bantu Lady Dahan boss Mwachiluwi Half american Mr kenice mzee wa kudoji Suchack
Kama utakwenda? Maana yake kuna option ya kutokwenda?

Nadhani mpaka kunakucha utakuwa umechagua option ya pili hiyo.
Screenshot_20230214-030633.jpg
 
Mh
Kama nitakwenda,Basi natamani nikumbukwe kwa mema. Najua hatujawai onana but tulikua poa.

Sina shida na mtu ila maisha lazima yaendelee, kudos to everybody ambao tuli hang hapa.

Sorry to everybody maybe niliwauzi kutokana na utani, hasira, kupanic but I love and respect you all.

Kifo kipo kwa kila mtu but unaumia zaidi unapojua na kufahamu mwisho wakooo but salute to youuu
Maybe in next life Kama ipoo, tutaonana kwa muumba

Bantu Lady Dahan boss Mwachiluwi Half american Mr kenice mzee wa kudoji Suchack
Mmmh!!
 
Back
Top Bottom