JamiiForums Usiku wa manane
NAludi kidogo shemeji yenu kaamka anataka kubika embu ngoja nijitetee sawa [mention]Half american [/mention] na [mention]Dahan [/mention] nitakukuta [mention]Unique Flower [/mention]
 
Jobless huyo ataweza afford gym, amkeni asubuhi muanze fukuza upepo from mbezi to kigamboni
.
255758550068_status_76ab8a45a2be483a8a6bcd2ce23871a8.jpg
 
Kama nitakwenda,Basi natamani nikumbukwe kwa mema. Najua hatujawai onana but tulikua poa.

Sina shida na mtu ila maisha lazima yaendelee, kudos to everybody ambao tuli hang hapa.

Sorry to everybody maybe niliwauzi kutokana na utani, hasira, kupanic but I love and respect you all.

Kifo kipo kwa kila mtu but unaumia zaidi unapojua na kufahamu mwisho wakooo but salute to youuu
Maybe in next life Kama ipoo, tutaonana kwa muumba

Bantu Lady Dahan boss Mwachiluwi Half american Mr kenice mzee wa kudoji Suchack
 
Back
Top Bottom