Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,278
Mwenye nakupenda iko kishundu sasa nakufa chalii
Ehhh ngosha..Adi wewe unaijua, upo vizuri.
Nimekuuliza wa kwenye avatar ndio wewe hujajibu
Huyo ni wako peke yako ata ukila ban anakua salama 😂Niachie my wangu uyo![]()
Karibu aisee ila Huna date mbona na muona your valentineBas nitakuja tupike wote af twende instanbul kula
Wachaa 🥂Mwenye nakupenda iko kishundu sasa nakufa chalii
Huyo ni wako peke yako ata ukila ban anakua salama![]()



bora iwe ivyo kuliko hao wakina Dahan wanakazi ya kunipa stress tuSijui kibaka Intelligent businessman kaitoa wap... Ndo amenipaa😂😂Yakwako lakini
Karibu aisee ila Huna date mbona na muona your valentine
Ehhh ngosha..
Okay ,Sina bby upo mwenyewe unamuona wapi baby?
Mnapeana adi picha mbona mmefikia hatua nzuri sana😄Sijui kibaka Intelligent businessman kaitoa wap... Ndo amenipaa😂😂
Huku maneno kidogo alafuu..... 😂😂😂bora iwe ivyo kuliko hao wakina Dahan wanakazi ya kunipa stress tu
Acha kuwatesa watoto wawenzakoSijui kibaka Intelligent businessman kaitoa wap... Ndo amenipaa😂😂
Wachaa![]()
WachaaTunaendelea 02:00
Huku maneno kidogo alafuu.....![]()
WachaaaNiamini leo hii sitamani mwingine tena
Kazi zangu mishe mishe ntarudi nyumbani mapema
Unachonipa baby sitokaa nikuumize eeh
Na zile raha unazonipa wewe
Napenda unavyokata na kunipa taratibu
Mimi ni mgonjwa wewe ni doctor unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
Wewe tabibu, unanipa rahaa.
Unavyokata na kunipa taratibu
Mimi ni mgonjwa wewe ni doctor unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
Wewe tabibu, ni wewe
Usijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Usijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Wee Half american would you pliiznaa achaliing my buti DahanSijui kibaka Intelligent businessman kaitoa wap... Ndo amenipaa😂😂
unapenda kitonga sana, mwanamke ni lazima akupe changamoto kidogo ili uchangamkebora iwe ivyo kuliko hao wakina Dahan wanakazi ya kunipa stress tu