JamiiForums Usiku wa manane
Niamini leo hii sitamani mwingine tena
Kazi zangu mishe mishe ntarudi nyumbani mapema
Unachonipa baby sitokaa nikuumize eeh
Na zile raha unazonipa wewe
Napenda unavyokata na kunipa taratibu
Mimi ni mgonjwa wewe ni doctor unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
Wewe tabibu, unanipa rahaa.
Unavyokata na kunipa taratibu
Mimi ni mgonjwa wewe ni doctor unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
Wewe tabibu, ni wewe
Usijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Usijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Vina muda basi 😂
Wee Half american would you pliiznaa achaliing my buti Dahan
Free Dahan
Mimi napenda kitonga sitak stress
We mwenyewe stress kwa jf
 
Niamini leo hii sitamani mwingine tena
Kazi zangu mishe mishe ntarudi nyumbani mapema
Unachonipa baby sitokaa nikuumize eeh
Na zile raha unazonipa wewe
Napenda unavyokata na kunipa taratibu
Mimi ni mgonjwa wewe ni doctor unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
Wewe tabibu, unanipa rahaa.
Unavyokata na kunipa taratibu
Mimi ni mgonjwa wewe ni doctor unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
Wewe tabibu, ni wewe
Usijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Usijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Anachomokaje kwa mistari hii 02:05
 
Back
Top Bottom