JamiiForums Usiku wa manane
image-2023-01-30-06:01:36-333.jpg

Morng ni siku nyingine wiki ya mapamban tena
 
image-2023-01-30-06:07:44-372.jpg

Kumekucha Naombwa kwa imani kila mtu wa humu ndani ambayee anatamani jambo lake leo likatimie anapo enda kazini naomba likatime

Maana bwana umesema niite nami nitakuitikia nasi tunakuita hasubuhi ya leo tukiamini kuwa utatuitikia ukasema pia Bwana nitakuonyesha makubwa na magumu ambayo siyajui (hatuyajui) naomba leo tukayajue Bwana maana sisi tumejenga tumaini letu kwako bwana maana kwako kuna kila baraka usiache mkono wako usituguse usiangalie uwingi wa dhambi zetu bali ziangalie sadaka zetu kwako na rehema zako zikae nasi Amina
 
Back
Top Bottom