Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,897
- 14,436
Bado muda Mkuu 02:25Morning glory vipi
Bado muda Mkuu 02:25Morning glory vipi
Bado nipo macho mkuuUjalala boss
Bado nipo macho mkuu
Vp wewe upo wavuvi kempu?Duh pole sana boss
Mida mibaya hii inabidi ulaleleo sijatoka nimelala mapema
Sina usingizi umekata af soon najianda natokaMida mibaya hii inabidi ulale
Njaa ni mbaya sana kula matunda![]()




kuna maembe yale ya kunyonya tuu hayatulizi njaa....03:40Unatoka kuelekea wapi?Sina usingizi umekata af soon najianda natoka
Maangaikoni saa kumi naaza jiandaUnatoka kuelekea wapi?
Unaishi mbali na eneo la kazi?Maangaikoni saa kumi naaza jianda
Unapenda kunyonya tu 😂😂😂kuna maembe yale ya kunyonya tuu hayatulizi njaa....03:40
No hila leo nina activity za njee ya eneo la kazi na nimbali sanaUnaishi mbali na eneo la kazi?
Kunyonya raha ujue...leo hujaogopa nyoka mbona uko macho???Unapenda kunyonya tu![]()
Njoo unyonye huku ice cream nimenunua😂😂😂Kunyonya raha ujue...leo hujaogopa nyoka mbona uko macho???
OK nimekupataNo hila leo nina activity za njee ya eneo la kazi na nimbali sana
Poa mkuu lete habarOK nimekupata