JamiiForums Usiku wa manane
Leo nilikuwa napita mitaa ya kanisa moja hivi, ambapo nilimuona binti mmoja akiwa anasali kanisani.

makadirio ya umri wa binti huyu ni kama ana miaka 31, akiwa kanisani alikuwa anasali au kuomba kwa sauti kubwa kidogo.

maombi yake yalikuwa yana husiana na hitaji la kupata mchumba,kwani nilimsikia akisema ya kwamba amechezewa sana.

hiivyo alihitaji mchumba mwenye sifa moja tu ambayo ni mchumba "anayevuta pumzi tu".

Kutokana na ushauri kutoka kwa big boss Mwachiluwi, alinipa sharti nioe ili anipe kazi. Nikawazasijui nijipitishe anione??.

Ila nilivyojiwazia mi mwenyewe, ghafla nilianza kuona kizungu zungu kwani nilijiona ninaweza kumfanya binti afe kwa presha .kutokana na sifa zifatazo

Mimi ni jobless wa kimataifa.
Mimi sio handisamu,Sina pesa Wala kitega uchumi .
Nina sura nzito Kama chapati liyokosa mafuta.duh
Hizi dini za wakoloni, sizielewi kabisa.
Yaani wakiniambia mahari m3, si ninaweza nikafa kwa khoro

Ghafla kwa mbali, nilisikia sauti ikisema "we jobless wa kimataifa"Mbona unaongea huku umelala??, .

Kumbe jamani hatupaswi kujilaumu kuhusu Jana yetu, bali inatupasa kuboresha kesho yetu. To yeye Bantu Lady, Mwachiluwi National Anthem, stow away na Dahan .
Hivi ni kwa vipi labda mtu ana kua jobless, mbona naona ugumu kidogo kama huyo mtu hajataka yeye binafsi kuwa jobless?
 
Leo nilikuwa napita mitaa ya kanisa moja hivi, ambapo nilimuona binti mmoja akiwa anasali kanisani.

makadirio ya umri wa binti huyu ni kama ana miaka 31, akiwa kanisani alikuwa anasali au kuomba kwa sauti kubwa kidogo.

maombi yake yalikuwa yana husiana na hitaji la kupata mchumba,kwani nilimsikia akisema ya kwamba amechezewa sana.

hiivyo alihitaji mchumba mwenye sifa moja tu ambayo ni mchumba "anayevuta pumzi tu".

Kutokana na ushauri kutoka kwa big boss Mwachiluwi, alinipa sharti nioe ili anipe kazi. Nikawazasijui nijipitishe anione??.

Ila nilivyojiwazia mi mwenyewe, ghafla nilianza kuona kizungu zungu kwani nilijiona ninaweza kumfanya binti afe kwa presha .kutokana na sifa zifatazo

Mimi ni jobless wa kimataifa.
Mimi sio handisamu,Sina pesa Wala kitega uchumi .
Nina sura nzito Kama chapati liyokosa mafuta.duh
Hizi dini za wakoloni, sizielewi kabisa.
Yaani wakiniambia mahari m3, si ninaweza nikafa kwa khoro

Ghafla kwa mbali, nilisikia sauti ikisema "we jobless wa kimataifa"Mbona unaongea huku umelala??, .

Kumbe jamani hatupaswi kujilaumu kuhusu Jana yetu, bali inatupasa kuboresha kesho yetu. To yeye Bantu Lady, Mwachiluwi National Anthem, stow away na Dahan .

Umetisha boss ngoja nikuletee mdogo wangu uoe kabisa
 
Back
Top Bottom