JamiiForums Usiku wa manane
Leo sipo lindo ila usiku wa kuamkia leo mtoto wa tajiri kaoa binti ana sura ngumu ila kwa sound zile za kitandani wallah nilijidai nazunguka zunguka jengo na rungu langu kutafuta kitobo nipige chabo maana kamvua na zile kelele utafikiri Bwana harusi alikuwa anamchinja kwa shoka hizi kazi ngumu sana waturuhusu nasi tuje zamu na mademu zetu kipindi hiki manyunyu na baridi au vp popoziiii???
 
Back
Top Bottom