Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,691
02:10
Nataka niwe chawa wako02:10
Wee usiniambie!!! Enhee ndiyo utakuaje?Nataka niwe chawa wako
Kama chawa wa mama SAMIAWee usiniambie!!! Enhee ndiyo utakuaje?
Utaweza kujitoa fahamu lkn?Kama chawa wa mama SAMIA
Sawa karibu Chawa wangu, popote nilipo upo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama chawa wa mama SAMIA
Ni miguno ya miminyo...pole sana mkuu saa hz ni saa 8 saa 11 jiandae tena!!Usinguzi umekata alafu dirisha la jirani katoka kuoa abachonifanyia kukicha naenda muombea notice kwa mwenye nyumba wake
Baada ya show wanaanza story na kucheka hii balaa mkuu nime record audio ni shidaaaNi miguno ya miminyo...pole sana mkuu saa hz ni saa 8 saa 11 jiandae tena!!
Hebu fanya kutupima hapa tushuhudie binadamu mwenzetu ulivyoteseka usiku wa manane!!!Baada ya show wanaanza story na kucheka hii balaa mkuu nime record audio ni shidaaa
Audio inatupiwaje humu? Najua picha tuHebu fanya kutupima hapa tushuhudie binadamu mwenzetu ulivyoteseka usiku wa manane!!!
Nani amekukera leo nikamuwajibishe tuanzie hapoSawa karibu Chawa wangu, popote nilipo upo![]()
Nitaweza mkuu,uchawa pro maxUtaweza kujitoa fahamu lkn?

Subiri kuna kinyamkera fulani hivi, mwanaume kama binti. Akinigusa tu nakwambia yuko humu 😂😂😂😂😂😂Nani amekukera leo nikamuwajibishe tuanzie hapo
Mlete mlete tummalize kinyamkeraSubiri kuna kinyamkera fulani hivi, mwanaume kama binti. Akinigusa tu nakwambia yuko humu![]()
Path;Audio inatupiwaje humu? Najua picha tu
Ngoja ajipendekeze, namuona sana yaani ana mambo ya kike sana. Na hajijui anaona sifa, nina wasiwasi na maisha yake halisi. Chawa kama chawa 💪💪💪💪💪🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Mlete mlete tummalize kinyamkera
Ila kazi ya uchawa ngumu jamaniNgoja ajipendekeze, namuona sana yaani ana mambo ya kike sana. Na hajijui anaona sifa, nina wasiwasi na maisha yake halisi. Chawa kama chawa![]()








sasa hapo najipanga kurusha ngumi kabisa asijipendekeze kwa pisi za watu jaman na kishika Uchumba tumetoa