JamiiForums Usiku wa manane
Babee wangu yuko Samaki samaki, ananambia nisilalee had yeye atoke huko afike kwake, afu tutakiane usiku mwemaaa.

Ila mapenzi ni mateso sometimes, yaan nashindwa kulala kisa mtu anastareheka huko. Lol

We katoto unavyopenda mideko sasa
 
Babee wangu yuko Samaki samaki, ananambia nisilalee had yeye atoke huko afike kwake, afu tutakiane usiku mwemaaa.

Ila mapenzi ni mateso sometimes, yaan nashindwa kulala kisa mtu anastareheka huko. Lol


Unconditional love unaijua au unasikia tu
 
Sasa hii bas imezidi mnoooo, au wee unaona halali uwe kwenye starehe zako afu umsubirishee wifi home had urudi??

sio vizuri bhana
Unarudi home hivi hata kama umechelewa kiza kinene na amekasirika ahh atacheka tu,na hatimae unamuangusha kitandani vizuriiiii kwa mitetemo
 
Natizama TBC 1 hapa Eti muandaaji wa kipindi anaweka nyimbo za mbilia Bella anaziita za tshala muana , kaniudhi Kweli hajui nyimbo za tshala muana

Nyimbo ya "ake nairobii .......

Hyo Ni nyimbo ya mbilia Bella

Mtayarishaji wa kipindi Ni chacha magingaa mpuuzi Sana naombeni namba zake nimpe za uso asitumie chomb Cha serekali kudanganya watu wazima kwa uongo ,uzushi na kuhadau umma

12:56
 
Natizama TBC 1 hapa Eti muandaaji wa kipindi anaweka nyimbo za mbili Bella anaziita za tshala muana , kaniudhi Kweli hajui nyimbo za tshala muana

Nyimbo ya "ake nairobii .......

Hyo Ni nyimbo ya mbilia Bella

Mtayarishaji wa kipindi Ni chacha magingaa mpuuzi Sana naombeni namba zake

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Dady msamehe my broh kwa leo, itakuwa kapitiwa tu.
 
Back
Top Bottom