JamiiForums Usiku wa manane
Ole wao, walalao peke yao kwenye 6*6 kwa maana upweke na hasira bila kusahau popobawa havitawaacha salama
Kwa kweli hiyo ole hainihusu kabisa maana mimi nalalia kitanda cha 2*6 sina upweke maana nabanana vyema na ukuta
 
Mmmh! Wacha nifunge geti niondoke zangu, leo naona popo wote chali....
 
Back
Top Bottom