JamiiForums Usiku wa manane
Hahaha kumbe mkuu na wewe ni Jogoo wa Jiji, kuna kimtetea humu ati kilikua kinatamani tuvunjike mguu tubaki bandani, tusiende kwa jirani kuwinda
Leo kuna mwenzenu kanikumbusha machungu ya timu yangu nikaumia sana, ndio maana nilitamani sana mfungwe ili kesho twende wote sawa...
 
Najua ila yeye na mimi hatupikiki ndani ya chungu kimoja tukaiva ndio maana amegoma kabisa kunifundisha kubet.
Kagoma wapi, hakunaga mkate mgumu mbele ya chai, tatizo lako unatumia kauli ya kanda maalumu kuomba darasa, hebu jaribu kutumia kauli za waja leo warudi maiti uone atakavyolainika kama mlenda wa bamia
 
Kagoma wapi, hakunaga mkate mgumu mbele ya chai, tatizo lako unatumia kauli ya kanda maalumu kuomba darasa, hebu jaribu kutumia kauli za waja leo warudi maiti uone atakavyolainika kama mlenda wa bamia
Tangu lini jasiri akaacha asili? Hizo ndo kauli zilizonilea hivyo siwezi kuziacha mura!
eti waja leo warudi maiti! Siku hizi wanasema waja leo kurudi majaaliwa!
 
Back
Top Bottom