Si ndio yaani usingizi ni tubia bila bia hakataki kujaKulala sober kazi sana, sasa usingizi unakata saa nane niamke nikafue au nikae nje tu niote jua😔
Ngekua nimepiga vibia viwili tu sahivi ningekua naota maisha mazuri
Usingizi ukikata na njaa nayo inaibuka....usipokua mvumilivu unaweza paramia masufuria usiku wa mananeSi ndio yaani usingizi ni tubia bila bia hakataki kuja
Stimu ni muhimu ajabu usingizi huwa unakuja saa kumi na1Usingizi ukikata na njaa nayo inaibuka....usipokua mvumilivu unaweza paramia masufuria usiku wa manane
Nikiwa nimetoka kupata moja baridi moja moto huyu mupe yule muruke nakuwa sijarud hmyan nakosa huko sasa leo niko sober bado napo nakesha .....Usingizi ukikata na njaa nayo inaibuka....usipokua mvumilivu unaweza paramia masufuria usiku wa manane
Lala blaza01:30
TupoMmelala 🥱
Tunalalaje kwanzaMmelala 🥱
Tupo