Kodisha kwa machangu. Dakika tano unapata buku, ukipata changu watano kwa siku mshahara huugusiLindo leo dolo
Kodisha kwa machangu. Dakika tano unapata buku, ukipata changu watano kwa siku mshahara huugusiLindo leo dolo
Hii umeniacha mbaliKodisha kwa machangu. Dakika tano unapata buku, ukipata changu watano kwa siku mshahara huugusi
DuhKodisha kwa machangu. Dakika tano unapata buku, ukipata changu watano kwa siku mshahara huugusi
Mwenyewe sijaelewaHii umeniacha mbali
Hahahahaha na Tanesco nao wamefanya yaoUkikaa karibu na waislamu wengi muazini anakuamsha.
Ukikaa na wasio na dini wengi mbwa Koko hawakupi nafasi ya kulala.
Hivi nyie waswahili maskini mnafuga mbwa wa nini? Hamuwalishi, hawawalindi , usiku hatulali.
Nitalifanyia kazi nikishtuka muda huwa nakata konyagi mpaka asubuh.Ukiona ikifika kuanzia saa 8 usingizi unakata, ujue Mungu anakuamsha ufanye ibada.
Bora hata uoe kuliko kuzoesha mwili pombe wakati huna kitu tumboni.Nitalifanyia kazi nikishtuka muda huwa nakata konyagi mpaka asubuh.
Hapo nitaongeza tatizo acha tu nitakuwa nasali huku nikipiga gambe kidogoBora hata uoe kuliko kuzoesha mwili pombe wakati huna kitu tumboni.
Tafuta mrembo mmoja mtaani awe anakupa mawazo mazuri wakati usingizi ukikata.
Wanawake wanakuwaga na mawazo ya kimaendeleo Sana hasa nyakati za usiku wa manane.
UmetishaNitalifanyia kazi nikishtuka muda huwa nakata konyagi mpaka asubuh.
Hakuna formula, mimi usingizi umekata mwenzangu anakoroma tu, mnara wa babeli ukianza kukamata connection ndio anaamkaBora hata uoe kuliko kuzoesha mwili pombe wakati huna kitu tumboni.
Tafuta mrembo mmoja mtaani awe anakupa mawazo mazuri wakati usingizi ukikata.
Wanawake wanakuwaga na mawazo ya kimaendeleo Sana hasa nyakati za usiku wa manane.