JamiiForums Usiku wa manane
Niliwahi kuingia kitandani ila ninashangaa mpaka saiz bado ninahangaika tuu
 
Gari ya taka
 

Attachments

  • IMG-20220802-WA0012.jpg
    IMG-20220802-WA0012.jpg
    40.3 KB · Views: 17
Ukikaa karibu na waislamu wengi muazini anakuamsha.
Ukikaa na wasio na dini wengi mbwa Koko hawakupi nafasi ya kulala.
Hivi nyie waswahili maskini mnafuga mbwa wa nini? Hamuwalishi, hawawalindi , usiku hatulali.
 
Back
Top Bottom