Am the One
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 916
- 924
Happy new year popooz
[emoji1752]
Salama za kwako boss[emoji1752]
Habari yako mkuu?
Happy new year ThadSiku kama hizi niko nanyi popo wenzangu,
Nabaki na majonzi siwaoni wapendwa,
Hivi niseme au nilie, labda niuchune,
Halafu nione nini mimi nitafanya,
Lakini siwezi kukesha tena bila nyinyi popo, Nasema tena siwezi kukesha bila Nleterewa Nganengo jje's Neybright Kichwa Kichafu The Monk Iceberg9 Joseverest mgunga pori Mwanyasi n.k
Nashukuru Mungu Ni Njema Kabisa Mkuu.
Mtaalamu Heshima Yako Boss.
Happy new year wifiSiku kama hizi niko nanyi popo wenzangu,
Nabaki na majonzi siwaoni wapendwa,
Hivi niseme au nilie, labda niuchune,
Halafu nione nini mimi nitafanya,
Lakini siwezi kukesha tena bila nyinyi popo, Nasema tena siwezi kukesha bila Nleterewa Nganengo jje's Neybright Kichwa Kichafu The Monk Iceberg9 Joseverest mgunga pori Mwanyasi n.k
Thanks dear, same to you!
Thanks dear. Usiniite wifi kaka zako hawanitaki tena[emoji1751]
Teh mimi si nilikuambia...umemshindwa Sam mtumishi wa Bwana utawawezea wapi pasua kichwa waleThanks dear. Usiniite wifi kaka zako hawanitaki tena[emoji1751]
Najuta kukuambia, maana tangu mwanzo hukutaka huo uhusiano wangu na kakazo[emoji57]Teh mimi si nilikuambia...umemshindwa Sam mtumishi wa Bwana utawawezea wapi pasua kichwa wale
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unasubiri mpaka upendwe? Utachelewa unatakiwa ujilazimishe hivyo hivyo upendo utaupata mbele ya safari. Haya hao waliokupenda wako wapi sasa[emoji16][emoji16]Najuta kukuambia, maana tangu mwanzo hukutaka huo uhusiano wangu na kakazo[emoji57]
Huyo Sam hakuwahi nipenda hata chembe, bora hata hao kaka zako walionesha japo dalili[emoji6]
Za Siku Mingi Aisee.Likewise baby shem!
the same to you
Duh! Ila kweli[emoji848] Inabidi nitafute mwalimu wa kunipiga tution ya kujipendekeza na kung'ang'ania mtu mpaka kielewekeUnasubiri mpaka upendwe? Utachelewa unatakiwa ujilazimishe hivyo hivyo upendo utaupata mbele ya safari. Haya hao waliokupenda wako wapi sasa[emoji16][emoji16]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Njema kabisa. Hofu kwakoZa Siku Mingi Aisee.
Mwalimu nipo hapa una shngapiDuh! Ila kweli[emoji848] Inabidi nitafute mwalimu wa kunipiga tution ya kujipendekeza na kung'ang'ania mtu mpaka kieleweke
[emoji16][emoji16]Duh! Ila kweli[emoji848] Inabidi nitafute mwalimu wa kunipiga tution ya kujipendekeza na kung'ang'ania mtu mpaka kieleweke