JamiiForums Usiku wa manane
Najuta kukuambia, maana tangu mwanzo hukutaka huo uhusiano wangu na kakazo

Huyo Sam hakuwahi nipenda hata chembe, bora hata hao kaka zako walionesha japo dalili
Unasubiri mpaka upendwe? Utachelewa unatakiwa ujilazimishe hivyo hivyo upendo utaupata mbele ya safari. Haya hao waliokupenda wako wapi sasa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Unasubiri mpaka upendwe? Utachelewa unatakiwa ujilazimishe hivyo hivyo upendo utaupata mbele ya safari. Haya hao waliokupenda wako wapi sasa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Duh! Ila kweli Inabidi nitafute mwalimu wa kunipiga tution ya kujipendekeza na kung'ang'ania mtu mpaka kieleweke
 
Back
Top Bottom