Am the One
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 913
- 905
Happy new year popooz

Happy new year ThadSiku kama hizi niko nanyi popo wenzangu,
Nabaki na majonzi siwaoni wapendwa,
Hivi niseme au nilie, labda niuchune,
Halafu nione nini mimi nitafanya,
Lakini siwezi kukesha tena bila nyinyi popo, Nasema tena siwezi kukesha bila Nleterewa Nganengo jje's Neybright Kichwa Kichafu The Monk Iceberg9 Joseverest mgunga pori Mwanyasi n.k
Nashukuru Mungu Ni Njema Kabisa Mkuu.
Mtaalamu Heshima Yako Boss.
Happy new year wifiSiku kama hizi niko nanyi popo wenzangu,
Nabaki na majonzi siwaoni wapendwa,
Hivi niseme au nilie, labda niuchune,
Halafu nione nini mimi nitafanya,
Lakini siwezi kukesha tena bila nyinyi popo, Nasema tena siwezi kukesha bila Nleterewa Nganengo jje's Neybright Kichwa Kichafu The Monk Iceberg9 Joseverest mgunga pori Mwanyasi n.k
Thanks dear, same to you!
Thanks dear. Usiniite wifi kaka zako hawanitaki tena

Teh mimi si nilikuambia...umemshindwa Sam mtumishi wa Bwana utawawezea wapi pasua kichwa waleThanks dear. Usiniite wifi kaka zako hawanitaki tena![]()
Najuta kukuambia, maana tangu mwanzo hukutaka huo uhusiano wangu na kakazoTeh mimi si nilikuambia...umemshindwa Sam mtumishi wa Bwana utawawezea wapi pasua kichwa wale
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app


Unasubiri mpaka upendwe? Utachelewa unatakiwa ujilazimishe hivyo hivyo upendo utaupata mbele ya safari. Haya hao waliokupenda wako wapi sasaNajuta kukuambia, maana tangu mwanzo hukutaka huo uhusiano wangu na kakazo
Huyo Sam hakuwahi nipenda hata chembe, bora hata hao kaka zako walionesha japo dalili![]()

Za Siku Mingi Aisee.Likewise baby shem!
the same to you
Duh! Ila kweliUnasubiri mpaka upendwe? Utachelewa unatakiwa ujilazimishe hivyo hivyo upendo utaupata mbele ya safari. Haya hao waliokupenda wako wapi sasa![]()
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Inabidi nitafute mwalimu wa kunipiga tution ya kujipendekeza na kung'ang'ania mtu mpaka kielewekeNjema kabisa. Hofu kwakoZa Siku Mingi Aisee.
Mwalimu nipo hapa una shngapiDuh! Ila kweliInabidi nitafute mwalimu wa kunipiga tution ya kujipendekeza na kung'ang'ania mtu mpaka kieleweke
Duh! Ila kweliInabidi nitafute mwalimu wa kunipiga tution ya kujipendekeza na kung'ang'ania mtu mpaka kieleweke

