Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,363
- 31,504
Nzuri mpendwa, uko poa? Karibu sanaHabari zenu wapendwa
Nzuri mpendwa, uko poa? Karibu sanaHabari zenu wapendwa
Naomba unipe tution ya kushusha mistari vinginevyo nitageuka domo zege bure.Kwa watu wazima wanaelewa, kama yupo single uta-win. Kwa sababu me/ke wanategemeana. Pia mkiwa wawili tu kwenye maongezi nafasi ya kushinda ni kubwa
Ohooo yale yale aliyoyasema Equation xNamla mtu denda sasa ni saa 02:10 usiku
Nalog off
Hatua ya kwanza unatakiwa uwe na kipato cha kuendesha familia. Je hilo umefanikisha?Naomba unipe tution ya kushusha mistari vinginevyo nitageuka domo zege bure.
Pia kuna majukumu ya ke na me, we uko kundi gani?Naomba unipe tution ya kushusha mistari vinginevyo nitageuka domo zege bure.
Hilo limepita, hatua ya pili?Hatua ya kwanza unatakiwa uwe na kipato cha kuendesha familia. Je hilo umefanikisha?
Kundi ke, majukumu ya kundi hili ni yapi?Pia kuna majukumu ya ke na me, we uko kundi gani?
Unataka mtu wa namna ganiHilo limepita, hatua ya pili?
Na njaa nataka chips mieKaribu kijiweni, nikuletee chai au gah'wa?
Majukumu yako ni ushawishi tu;mwanaume ni kichwa cha familia na mwanamke ni shingo ya familia, na kazi ya shingo ni kuzungusha kichwa kaskazini, kusini, mashariki na magharibiKundi ke, majukumu ya kundi hili ni yapi?
Pole shost, hapa kijiweni hakunaga chipsi ni kahawa na kashata tuNa njaa nataka chips mie
Yeyote wa kunipunguzia hizi stressUnataka mtu wa namna gani
Kuanzia miaka mingapiYeyote wa kunipunguzia hizi stress
Sasa mpaka awe shingo si watakuwa washavuka hatua za kutosha?Majukumu yako ni ushawishi tu;mwanaume ni kichwa cha familia na mwanamke ni shingo ya familia, na kazi ya shingo ni kuzungusha kichwa kaskazini, kusini, mashariki na magharibi
Kuanzia miaka 18Kuanzia miaka mingapi
Ukiweza kushawishi kwanza, ndio hizo hatua zingine zinafuataSasa mpaka awe shingo si watakuwa washavuka hatua za kutosha?
umri 18-34 asilimia kubwa unaweza kupata single, ila 35+ wengi wako kwenye ndoaKuanzia miaka 18
Oooh kumbe! Asante kwa kunifumbua machoumri 18-34 asilimia kubwa unaweza kupata single, ila 35+ wengi wako kwenye ndoa
Sasa natakiwa kushawishi vipi?Ukiweza kushawishi kwanza, ndio hizo hatua zingine zinafuata
Muombe appointment huyo anayekufanya unakosa usingiziSasa natakiwa kushawishi vipi?