JamiiForums Usiku wa manane
Pls ebu achana na dem wangu mzee

Niachane naye kwamba wewe ni mumewee au niachane naye kwani nimewahi kuwa naye kwenye mahusiano. Wanawake ni kwetu sote, acha uchoyo mkuu. Wewe atakuburudisha Nyumbani wengine atatuhudumia mtaani…! That’s life.
 
Niachane naye kwamba wewe ni mumewee au niachane naye kwani nimewahi kuwa naye kwenye mahusiano. Wanawake ni kwetu sote, acha uchoyo mkuu. Wewe atakuburudisha Nyumbani wengine atatuhudumia mtaani…! That’s life.
Aise ndiyo mchezo wenu sawa
Ila tusilaumiane
 
Achana na mapenzi mkuu, utakufa siku si zako.
Kwa hiyo unataka nikuachie wewe mwenyewe mapenzi??
Au wewe hautakufa?

Wanawake wastaarabu ni kwa ajili ya wanaume wastaarabu kama mimi huyo dada ni mtu wa maombi ananifaa Mimi we tafuta wadhambi wenzako kama ulivo sema akuombe
Njoo na Mimi nikuombee nipo kawe
 
Kwa hiyo unataka nikuachie wewe mwenyewe mapenzi??
Au wewe hautakufa?

Wanawake wastaarabu ni kwa ajili ya wanaume wastaarabu kama mimi huyo dada ni mtu wa maombi ananifaa Mimi we tafuta wadhambi wenzako kama ulivo sema akuombe
Njoo na Mimi nikuombee nipo kawe

Mimi kweli ni mdhambi, Kwa maana hata Kristo alikuja Dunia kutufia sisi wadhambi na anatupenda sana na anatuita kila iitwapo leo tumfuate. Na kwa namna moja au nyingine najikuta nampenda sana Kristo na natamani sana siku moja nizungumze naye tukiwa kama washindi.

Wewe kama ni mtakatifu huna dhambi humhitaji kristo, tuache sisis wadhambi tuendelee kumtafuta Bwana.

Lakini punguza kujisifu Mkuu

1 Wakorintho 5:6 - Kujisifu kwenu si kuzuri. Hamjui kwamba chachu kidogo hulichachusha donge zima?
 
Issa weeeeeekend...😂😂
Tupieni vile vimistari vya mahaba please
 
Back
Top Bottom