Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,672
- 79,089
....Tena wakatwe kodi kubwa maana elimu zao haziwaruhusu kulipwa mshahara mnono namna hiyo
....Tena wakatwe kodi kubwa maana elimu zao haziwaruhusu kulipwa mshahara mnono namna hiyo
HahahahaSikuweza kukesha, ati nililala nikaanza kuota miamala
Saa ngapi now kichwa0010Hrs
18.07.2021
Monday.
God is good, All the time.
Subiri tarehe 25 dose nyingine kama ya tarehe 3 boss wangu.Mkuu Kichwa Kichafu.
Kwa idhini ya wana msimbazi zawadi yako hiyoView attachment 1859088
Nimekunywa pombe usingizi hauji sijui ntaamka saangapi!!!Nimeshinda nafanya kazi,nimechoka
Nimeingia kitandani sa 3
sijapata usingizi hadi sasa
Mawazo...
wewe je?.