Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,106
- 37,641
Utaniambia ulikua unafanya nini usiku wa manane nyauuukumbe na huku umoooo..huku ni sehemu ya mapopo vijana hawaruhusiwi
teh teh
nimewamis sana watu wa humu..nitajitahidi nirudi aisee
naona wale wote wenye akili wako huku
Nani huyo kavamia kijiwe Chetu?Kijiwe kimekimbiwa na walinzi mahiri sana siku hizi, ngoja niwaite mmoja mmoja, kuna uvamizi huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Kah kuna wezi nimewakimbiza nimepoteza mpaka kiatu kimojaNani huyo kavamia kijiwe Chetu?
Nyie ndo mnakesha mkituroga tusiache kunywa bia mwezi huu mtukufu.
Nyie ndo mnakesha mkituroga tusiache kunywa bia mwezi huu mtukufu.