Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,015
Kwa baridi hili, uzalendo utanishinda
Umeshakushinda tayari
Kwa baridi hili, uzalendo utanishinda
Nakusalimia kamanda
We jamaa yangu mambozVinjjii was lurking around...
Sana tu niambie za kunitupa mwenzio
Daku hebu tukaribishane,
Naona ume mpata manunu sijui nunu wa wema?
Leo tunakesha hapa wote mpaka tule daku
Leo tunakesha hapa wote mpaka tule daku
Mwana mpotevu
Duh njaa inikazie weee mara pah na usingizi ukanibeba nisile daku, mbona nitakoma kesho hiyo njaa yake
Huyu hapa0018
0135Duh njaa inikazie weee mara pah na usingizi ukanibeba nisile daku, mbona nitakoma kesho hiyo njaa yake