qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,729
Binamu naona usha pata na mchumba aise
Ndo maan nyumbn uonekan kumbe uko busy

Binamu naona usha pata na mchumba aise

Kabsa kbaaaaa
Binamu naona usha pata na mchumba aise
Ndo maan nyumbn uonekan kumbe uko busy![]()
Sijapata mchumba bado mbona ningemleta nyumbani haraka, Hahaha eeeh jana sijapika nilikula somewhere ,
Tukeshe binamu tukipiga maombi, ngoja nikutimie PM mstari wa Biblia utatuongoza kwenye maombiKabsa kbaaaaa
Binamu si nimekuta unamuita kbsaa sema kachelewa kufika mwambie aje anaijue wifi yake
Tukeshe binamu tukipiga maombi, ngoja nikutimie PM mstari wa Biblia utatuongoza kwenye maombi
Sent using Jamii Forums mobile app



















Binamu si nimekuta unamuita kbsaa sema kachelewa kufika mwambie aje anaijue wifi yake
Ataweza kuogelea ile style yetu kwan?barua yangu ya kumposa onlyalvira imerudishwa binamu yani ananionea huyu, ngoja utapata tu wifi subiri kwa kutulia, tumpeleke akaogeree
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo kaka...
Amen!!Bwana yesu asifiwe
Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
kumbe na huku umoooo..huku ni sehemu ya mapopo vijana hawaruhusiwiTukeshe binamu tukipiga maombi, ngoja nikutimie PM mstari wa Biblia utatuongoza kwenye maombi
Sent using Jamii Forums mobile app
nimewamis sana watu wa humu..nitajitahidi nirudi aiseeAmen!!
Shem karibu sana!! ni kitambo kwelinimewamis sana watu wa humu..nitajitahidi nirudi aisee
naona wale wote wenye akili wako huku
