JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

0240... Ubaya ni kwamba kunguni nao hawalali maana na wao wamegundua cheat codes zetu
..... Na sie kwa jeuri zetu hatuendi kulala wang'atane wao kwa wao
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23] kunguni hawakulani mkuu.
Yaani usipoenda kulala ni bora uhame hiyo nyumba.
Maana ukiwakimbia kimbia unazidi kuwapa njaa na hivyo unawapa hasira[emoji23][emoji23]
Siku ukirudi kwa hiyo bed hasira zao utazitambua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani utakoma kuwajua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
0240... Ubaya ni kwamba kunguni nao hawalali maana na wao wamegundua cheat codes zetu
..... Na sie kwa jeuri zetu hatuendi kulala wang'atane wao kwa wao
Usiombe kung'atwa na kunguni wenye hasira.
Unaweza kukichoma moto kitanda chako [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zawadi hiyo.

Simba oyeee
FB_IMG_1612464482105.jpg
 
Back
Top Bottom