Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Dah nataman nilud dom aseee... nishakumbuka chimbo languYoooo! Aliyeko Pestana mida hii check me
Dah nataman nilud dom aseee... nishakumbuka chimbo languYoooo! Aliyeko Pestana mida hii check me
🤣🤣Mkuu Asubuhi kuna kwenda kanisanNipo chako mida hii
Ha ha! Iga kale kautaratibu kangu maana mi nishajivua!.. humohumo utajionea tu mambo yatawaka..💥Nitafutie namimi asee
kama uta tanngulia tutakukutaWa mbali tukutane Mtumba
Nipo kwa mda kidgo sana mkuu ,,nataelekea mwisho wa lami ghetoMkuu Asubuhi kuna kwenda kanisan

Wee mzee punguza kula bata!Muda wa kupita mbugani huu ,kujiteulia kihindi kiteke kimoja
Maisha mafupi haya Mzee mwenzangu, uko wapi tukale kisusio kwa mama mankaWee mzee punguza kula bata!
wanasema supu sio dawa, dawa kuacha pombea msalimie mam mankaMaisha mafupi haya Mzee mwenzangu, uko wapi tukale kisusio kwa mama manka
Hahahahawanasema supu sio dawa, dawa kuacha pombea msalimie mam manka
noma sana tukatoe hang over kwa mankaHahahaha
Miss u sonMama Vinci
Lia mpaka majirani walime mpunga kwa machozi yakoNashindwa kulala haja ya moyo wangu naijua, Machozi hayaniishi homa ya mapenzi naugua, Furaha yangu mimi kulia mpaka nahisi duniani kama naonewa.


Nimejitahidi kulia weee ila mpaka sasa hata kisado kimoja sijajaza, ngoja niendeleeLia mpaka majirani walime mpunga kwa machozi yako![]()