Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,883
- 51,696
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Usingizini...nitashindwa Kukupa kampani vizuri..niwache nilale..😂😂😂 ile mida huwa naamka kwenye maombi Mimi na Yale mapumziko wapi na wapi jamani..😂😂😂 siyajui Yale🤦Unazingua hebu nipe kampani mida hii, ile mida yako utaniambia huwa unakua upo mapumziko baada ya mpambano auhuo muda wako wa wanna
Unajitahidi kukiboresha ila umekumbu shuka asubuhi mbu wameshakunyonya damu usiku kuchaAll of you are from Dar or elsewhere..
Msishangae kiingereza TL amesema hatujui tunapratice akimaliza kampeni tushajua![]()
Usingizini...nitashindwa Kukupa kampani vizuri..niwache nilale..
ile mida huwa naamka kwenye maombi Mimi na Yale mapumziko wapi na wapi jamani..
siyajui Yale
![]()
Utanifundisha maombi na mimi, halafu mpambamo nitakufundisha mimiAlafu nimekumbuka niko single alafu nachelewa kulala hii ni mida ya madouble kupanga dunia itakuwajeUnajitahidi kukiboresha ila umekumbu shuka asubuhi mbu wameshakunyonya damu usiku kucha

Namjua wa ccm huyo wa chadema simjuiMgombea wa jimbo lako ni nani kwa ccm na Chadema nataka nikaumbie atakae kufaa
Sawa sawa...usijali nitakufundisha..kuhusu wewe kunifunza mpambano 👂Ngoja nimuulize Mama Kama naruhusiwa![]()
![]()
![]()
![]()
Utanifundisha maombi na mimi, halafu mpambamo nitakufundisha mimi
Kupanga ni kuchaguaAlafu nimekumbuka niko single alafu nachelewa kulala hii ni mida ya madouble kupanga dunia itakuwaje![]()
Sawa sawa...usijali nitakufundisha..kuhusu wewe kunifunza mpambanoNgoja nimuulize Mama Kama naruhusiwa
Una miaka mingapiAhhhh yule bwana anaevaa taa zenye rangi ya bendera ya TanzaniaNamjua wa ccm huyo wa chadema simjui
😂😂😂😂 Aibuuuu kuisema..Ila Mama kasema Mimi bado mdogo.![]()
![]()
Una miaka mingapi
Hahaha yupi huyo simjuiAhhhh yule bwana anaevaa taa zenye rangi ya bendera ya Tanzania
Wadogo mna ladha zenu banah tunu ya taifaAibuuuu kuisema..Ila Mama kasema Mimi bado mdogo.
Eeishhhhh!!🙌...Mimi simoo..kwaheriiWadogo mna ladha zenu banah tunu ya taifa
Wakuoe..😂😂 ..lala usingizi ushakukamata weweHivi umeshawaza kati ya Interview ngumu ni hii ya kuomba kupigiwa kura ili uchaguliwe, unaomba maraia wakuoe ridhaa makabila yote marika yote![]()