Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,520
- 86,081
Mie niko kwenye Nyama Choma.Festival hapa! All alone, nafurahia my own companyMie tuu ndio nashangaa shangaa mataa
Mie niko kwenye Nyama Choma.Festival hapa! All alone, nafurahia my own companyMie tuu ndio nashangaa shangaa mataa
Asee mie nipo kitaa naperuzi jf hapa nataka nitoke nje nisikilize mawazo ya bodaboda, wazee wa kukesha wanastory na kujua vingiMie niko kwenye Nyama Choma.Festival hapa! All alone, nafurahia my own company
Yeah, jichanganye nao Mpwa! Unaweza kupata dhambi ya kusikiliza wenzio wakila runda next room bure. Nenda toka humo ndaniAsee mie nipo kitaa naperuzi jf hapa nataka nitoke nje nisikilize mawazo ya bodaboda, wazee wa kukesha wanastory na kujua vingi
Ahahaha simchezoYeah, jichanganye nao Mpwa! Unaweza kupata dhambi ya kusikiliza wenzio wakila runda next room bure. Nenda toka humo ndani
Kitambo sana, wakongwe tupo karibu tulisongeshethreat hii bado ipo till to day wajamini since 2016 me npo napitia JF
Ledies wamepakimbia siku hizi sio kama zamaniLong time sana hapa,hamjambo ledizi endi gentromeni
wajua laadies hawaishi kwa mazoea bro wengi wao utamaniLedies wamepakimbia siku hizi sio kama zamani