Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,251
- 90,444
Hapana Mkuu sitesekiKaa kwa kutulia, ushajua ni mimi... unateseka.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana Mkuu sitesekiKaa kwa kutulia, ushajua ni mimi... unateseka.?
Hahahaha, dawa tena ,dawa ya nn?Kuna dawa iko, tuwasiliane ukitaka!
Hahahaha, asee siwezi Fanya huo ujinga Mkuu ,ahsante sanaYa kupendwa kama hivyo!
Haha hao usijichanganye kama hauko nao karibu au hampigi dili moja. Kuna wale wanaoiba mafuta ya TAZAMA Visu nje njeHahahaha, utakula msosi wa masela hujachanga? Masela wenyewe wa temeke Hawa ,wezi wa mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Anamjua mwenyewe. But it's nice to have a lady like Depal who sings and dance nice songs for youHahahaha, sana asee ,maana kila ikifika muda huu lzm binti aje kumuimbia hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hiyo inakuwa c vyema. You better meet him/her, grab the glasses of beer together, mpige stories usiku upite mshakuwa marafiki wa hatua nyingine zaidi ya hapa lindoni.Nazimaje simu sasa sizimi, cz hawezi kunipigia huyo memba ,maana namba hana,au namwambia sikuoni ,hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Powa sanaHi, uko poa?
Unaadimikaga nawe.. Twende church mamiiPowa sana
Tunaenda saa4 ya watotoUnaadimikaga nawe.. Twende church mamii
Ya watoto tena?!Tunaenda saa4 ya watoto
Ndio, naenda nao hawa maboss wanguYa watoto tena?!
Hahaha, aseeHahaha hiyo inakuwa c vyema. You better meet him/her, grab the glasses of beer together, mpige stories usiku upite mshakuwa marafiki wa hatua nyingine zaidi ya hapa lindoni.
Hahahaha, wapinda waleHaha hao usijichanganye kama hauko nao karibu au hampigi dili moja. Kuna wale wanaoiba mafuta ya TAZAMA Visu nje nje
Ok uchaguzi ni wako ila nilijua ungeanza ya kwako kwanza then uwasubirie hao maboss mpaka wamalize ya kwao uwarudishe nyumbani. Na kwenye makanisa mengi naonaga vipindi vyao vknakuwaga asubuhi kabla ya ibada ya wakubwa.Ndio, naenda nao hawa maboss wangu
Sup buddy?
Hivi ile End game ulielewa kweli nimeangalia zaidi ya mara 10 lakini sielewi kabisa![]()
Niliielewa japo siwapendi marvel waongo wamezidi
Captain yupo wapi baada yakurudisha ngao kazeeka lakini dunia nyingine kijana!
Captain ngao kamuachia Sam?
Stark amekufa nani ataongoza Avengers?
Natalia?
Doctor stranger kwann alimuambia stark achukue yale mawe na kwann stark alimwambia "hey buddy you said we will win 40 million then tell me now what is it" ?
Stranger akamwambia "if I tell you now what is it! Then akamwambia it won't happen?
Wale watu wa Guardian of the Galaxy ndio wananivuruga kabisa.
Inanichanganya inanivurugaacha tu.