T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
Hakuna kitu/tabia ambayo sipendi kama kulala na mtu anayekoroma.Baba anakoroma, mtoto anakoroma.
Wanasababisha nisilale hawa.
Wanaume tabia za kukoroma nani kawafundisha?
Nimezungukwa na mashine za kusaga ndani kwangu...
Mikoromo siyo ya nchi hii.
Si tumepewa likizo?2300
Nimezoea. Napita nawasalimia naenda zanguSi tumepewa likizo?
Na mimi ndo naenda zangu 2305Nimezoea. Napita nawasalimia naenda zangu
Acha kutusingizia.Na wewe una koroma sema hujajishtukia. Kuna mtu ilibidi nimrekodi asubuhi ndio akaelewa ananisema sema wakati yeye ndio gwiji wa kukoroma kama jenereta, sijawahi msikia tena akilizungumzia hilo

Hapana.Na wewe utakua unakoroma tuu
00:26 mbona hujalala hadi saiv wew12:25
Sina usingizi mimi00:26 mbona hujalala hadi saiv wew
Ulilala mchana niniSina usingizi mimi
Hapana sikulala..ingawa Kuna muda usiku huu nilisinziaUlilala mchana nini
Karibu tusaliHapana sikulala..ingawa Kuna muda usiku huu nilisinzia
Ahsante Sana.Karibu tusali