Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,141
Kuna watu watakuja ikifika saa 12:00
Sogea hapa 40/40Hamna haja radar yangu inaangaza matukio ya pande zote
Tupo tunacheki gemu mallorca Vs Barcelona, till now Barcelona 1 Mallorca 0.Hey Guys, mupo? Leo nasalimia kisha nalala! Kama kuna madai njoo PM
Dakika ya 30.32secTupo tunacheki gemu mallorca Vs Barcelona, till now Barcelona 1 Mallorca 0.
TushakaribiaKaribuni lindoni walinzi
Melo alipita huku![]()
Dakika ya 30.32sec
Niongoze vema Maria mwema,
Bondeni huku niliko,
Nifike kwa usalama,
Mbinguni kwa Yesu mwanao![]()
Hizo nyimbo huwa naziimba nikiwa nimeishiwa....🎶Niongoze vema Maria mwema,
Bondeni huku niliko,
Nifike kwa usalama,
Mbinguni kwa Yesu mwanao🎶
Lala ukueNani alitoa sadaka,Hiyo sadaka ikamfilisi.
Hakuna,Hakuna wala haiwezekani.
Utoapo bwana atajaza tena..atajaza tena.
Kesho toeni sadaka acheni Kuiba haki ya BWANA. Kulingana na vipato vyenu
😀 😀 😀 😀 😀Hizo nyimbo huwa naziimba nikiwa nimeishiwa....
Ili nigundue nini kamanda.?Lala ukue
Nani alitoa sadaka,Hiyo sadaka ikamfilisi.
Hakuna,Hakuna wala haiwezekani.
Utoapo bwana atajaza tena..atajaza tena.
Kesho toeni sadaka acheni Kuiba haki ya BWANA. Kulingana na vipato vyenu
Hao wachawi wasiolala umeona wamekuwa matajiri..??Ili nigundue nini kamanda.?
Usingizi ni kapu la umaskini
Napitia comments, talks at the crossroadHao wachawi wasiolala umeona wamekuwa matajiri..??
Usidanganyike ndugu heshimu usingizi alieuweka kakushinda akili sasa shindana nae tuje tukuokote ukizinduka ujikute na madripu mpk kwenye meno..![]()