Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Mie mzima,hofu kwako mamyHa ha ha ha ha. Watakuja tu ,Hujambo wewe?
Mie mzima,hofu kwako mamyHa ha ha ha ha. Watakuja tu ,Hujambo wewe?
hello.!!
Kunywa mayai mabichiBora unisaidie kuwaita wewe mwenye suti nyororo maana mie nimewaita na hii sauti yangu ya mkwaruzo wanajifanya hawanisikii




Karibu sana, za kupotea?hodi hodi waungwana!!!
Karibu mwenzetuhodi hodi waungwana!!!
AhahahaaaaaDr.kanambia nilale mapema ili nikue haraka 🙂🙂🙂🙂
Namsikilizia wife anakoroma tu hapa pembeni yangu...mie tangu saa tatu usiku tumbo linanipigisha marktime kadhaa za maliwatoni...mpaka dakika hii nshagonga safari za toileti kama 4 hivi

nzuri nawewe za kuadimikaKaribu sana, za kupotea?
Tukikuota wote sidhaninkama utapata usingiz. Utajigeuza kitandani hadi kokorikooooNaona leo bundi wote chalii
Nleterewa Nganengo
Neybright
Manga ML
jje's
Kichwa Kichafu
Gentries n.k
Mlale unono,mniote eeeh!
Mmmmh! kwani na wewe ni dokta? Mbona jirani yako KK hajanambia?Kunywa mayai mabichi![]()
asante.!!!! mwenzangu za huko uliko!?Karibu mwenzetu
Uko wapi mydear
Karibu dingimtotohodi hodi waungwana!!!
Hahahah! Mkiniota wote ndo nitakua harakaTukikuota wote sidhaninkama utapata usingiz. Utajigeuza kitandani hadi kokorikoooo
Salamaaaah tunamshukuru Mungu kwakweliasante.!!!! mwenzangu za huko uliko!?
duuh shem dingi ake moto ndie miyeKaribu dingi ake moto

Nipo dear wangu, nilifungua get hakukuwa na mtu ukumbini ila naona wanakuja kwa fujoUko wapi mydear
Namshukuru Aliyejuu ananipigania, kila iitwayo leonzuri nawewe za kuadimika
wacha weee.!! hata me naona something Amaizing nipe siriSalamaaaah tunamshukuru Mungu kwakweli