Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Yeah well saidNjia Ni njia aidha uifuate ama uiache.. aidha unufaike ama upotee ...
Uamuzi n wako mkuu kuingiza jambo ama kufunga Ubongo.

Yeah well saidNjia Ni njia aidha uifuate ama uiache.. aidha unufaike ama upotee ...
Uamuzi n wako mkuu kuingiza jambo ama kufunga Ubongo.

Kusaidia mara mojamoja jukwaa lako pendwa sio mbaya au unaonaje

Shukran sana Boss wangu..Nimependa jinsi ulivyoandika
Uwe salama pia mkuu,uwe na usiku mwema
Hutu ndo tu Cha wi...![]()
Sema rainbow ilivutia ki bahariaAsante sana kwa matusi yakonaona ww leo ndio ulidhamilia mabaya najuta kwann niliituma loh
ilikuwa sio fair kabisa
![]()


😅Na wewe mbona umenisusa
Nitafanya hivyo. Mbadala wake?Angalia VIKINGS kidogo kama the 100
KENZY,Mwache binti yangu alale hahahaaaha@@St Anne njoo unatafutwa
Saint Anne ni binti wa Mungu!.. hivyo sihofu nikiwa ktk upako wake..Ntakupiga ulozi wa usinga kabisa Mkuu....hahahaaaa
Nalinda kimya kimyaHatimae![]()

Nalinda kimya kimya![]()
Huu nu straight wala haupotei kabisa@@kaa kitaalamu..wahuni hatutaki maelezoSaint Anne ni binti wa Mungu!.. hivyo sihofu nikiwa ktk upako wake..
Wewe utatapatapa na ulozi wako bure..
Mimi mzima
Basi tufanye yaishe maana umeanza tambo zako ila sio Siri nimekuhamu Sana..
Vipi weye mzima..??