Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Tayari nipo lindoni, mmeboresha kwa kutupa na thermos za kahawa


Kabisa fanya hivyoTayari nipo lindoni, mmeboresha kwa kutupa na thermos za kahawa


Kabisa fanya hivyoAmeiachia lini tena mkuu? duh!Super Villain said:Ana nyingine inaitwa weak up dead
Lil Wayne ft Kendrick Lamar - Mona LisaTwende babaaaa![]()

Dah Kuna dogo huwa anapenda sana kuchana verse ya Kendrick kila nikisikiliza hii nyimbo namkumbuka I miss you dude 
Last month.Ameiachia lini tena mkuu? duh!
😂😂😂Kha! Kweli hili ni tatizo![]()
Lil Wayne ft Kendrick Lamar - Mona Lisa
Dah Kuna dogo huwa anapenda sana kuchana verse ya Kendrick kila nikisikiliza hii nyimbo namkumbuka I miss you dude
![]()


Ahh leo umetishaaaa
Ngoja nitafute hela nifungue sober house kwajili ya watu waliokosa usingizi niwenawatibia haya matatizo


😂😂😂😂Ahh leo umetishaaaa
Sawa mkuu ni wajibuKabisa fanya hivyo
Kendrick na future yupi mkaliLil Wayne ft Kendrick Lamar - Mona Lisa
Dah Kuna dogo huwa anapenda sana kuchana verse ya Kendrick kila nikisikiliza hii nyimbo namkumbuka I miss you dude
![]()
Naamini sitokuwa mmoja wa wagonjwa wakoNgoja nitafute hela nifungue sober house kwajili ya watu waliokosa usingizi niwenawatibia haya matatizo![]()
we mzee mbona unaniweka matatani dah hili swali ni gumu ujueKendrick na future yupi mkali

Mimi si mmoja waoKwann?![]()
Ndio unatakiwa upate tiba sasa.Mimi si mmoja wao
Sina tatizo ni vile tu nimelala sana mchanaNdio unatakiwa upate tiba sasa.