Huwezi kushinda na usingizi ukija unalala mwenye acha na hii kitu unaweza lala hata kichakani ukiwa unakudai tu.

Nimewahi pata ajali mwaka jana kwaajali ya kusinzia ilinicost sana, so nawajibika kuendelea kuona usingizi ni adui kwangu, dah ile ajali sema Mungu ananilinda sana, simuachi Mungu aiseeeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom