Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,273
- 11,773
wapendwa za asubuhi,poleni na hongereni kwa majukumu ya familia zenu na ya kuijenga nchi nimekuja kwenu kuomba ushauri/msaada wa mtoto wa kiume umri miaka 2 na miezi 4 kukosa usingizi wakati wa usiku.
Mtoto ni mtundu na anapilikapilika nyingi mchana hivyo wakati wa usiku unategemea alale mapema lakini wapi inaweza fika mpaka saa 6 jicho jeupe na akitaka kulala anatumia nguvu sana kiasi cha kuomba maji kila baada ya mda mchache baada ya kujipigapiga kichwa kifuani kwako huku akijisukuma mfano wa kujibembeleza hata kwa lisaa na zaidi ili aweze kulala
Hili limekuwa changamoto hata kwa mzazi anaemlea sababu akianza kujisukuma anataka awe amekupanda juu yaani hakuna kulala,hivyo naombeni ushauri kwa wazazi/walezi,madaktari au yeyote aliyewahi kukutana na changamoto kama hii naombeni ushauri.Nafuatilia comments
Muwe na siku njema.
Mtoto ni mtundu na anapilikapilika nyingi mchana hivyo wakati wa usiku unategemea alale mapema lakini wapi inaweza fika mpaka saa 6 jicho jeupe na akitaka kulala anatumia nguvu sana kiasi cha kuomba maji kila baada ya mda mchache baada ya kujipigapiga kichwa kifuani kwako huku akijisukuma mfano wa kujibembeleza hata kwa lisaa na zaidi ili aweze kulala
Hili limekuwa changamoto hata kwa mzazi anaemlea sababu akianza kujisukuma anataka awe amekupanda juu yaani hakuna kulala,hivyo naombeni ushauri kwa wazazi/walezi,madaktari au yeyote aliyewahi kukutana na changamoto kama hii naombeni ushauri.Nafuatilia comments
Muwe na siku njema.