Sema nasubilia cousin akupost na yeye alafu wale jamaa zangu kesho nitawaambia kesho uoge Pepsi sawa pamoja na matusiMzee mwenzangu... una kumbukumbu aseee
Thanks much blood.. unajua vile nakukubali mkuu wangu .. wewe ndo realest nd one of the best..
Im humbled sana kaka ...shukrani







Tupo karantini kwanza mkuu..
Mbona tupo karibu mana mie Nipo hapa Mukituntu hebu fanya kuja basiNipo kisieani ukerewe![]()


Swali rahisi sana hili unachezaga game gani kwanza?!Yani acha tu...
Nasahauligi kukuuliza:Kwanini ulijiita Goddess!?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho tena hio ss hv vivuko vimelalaMbona tupo karibu mana mie Nipo hapa Mukituntu hebu fanya kuja basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aww thank u bado uma wishes10 kutoka kwangu zisubiri humuhumu kabla haujalala maana hatuwezi leta nepi msongamano hauruhusiwi
Acha uhuni Kijana ilete cake hapaTupo karantini kwanza mkuu..
Party mwisho watu watatu. Wengine mtaipata live on youtube au insta![]()
Sema nasubilia cousin akupost na yeye alafu wale jamaa zangu kesho nitawaambia kesho uoge Pepsi sawa pamoja na matusi![]()
Dogo unapenda kunichafulia cv 😂😂
Too bad...mie sina urafiki na Masuala ya game!!Swali rahisi sana hili unachezaga game gani kwanza?!
Muhuni tu huyo



Kumbe mnashereheka kipande hii. Afadhali nilivyokuja kwa kunyata nimewafuma live. Wapi huo mpunga sasa.It's May Day
Happy birthday champ simissstay blessed fam, Yeah that we popping like
Let's get the party started!
#TeamMayForever![]()
Hahah huwa namuona anavyokuuaUnajua mi mshkaji wa kanisani ila dogo anataka kunipitisha njia zake ovu.. ashaqnza kuniharibia cv kabsaa
Maombolezo gani tena hayo!!!?Mzee kipindi cha maombolezo hiki.. subiri next year utapata mualiko mapema sana![]()