Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
😀😀😀 ila ulipata somo ambalo hutoka kosea tena.Nilijutia Sana sana
😀😀😀 ila ulipata somo ambalo hutoka kosea tena.Nilijutia Sana sana
Somo gumu sana😀😀😀 ila ulipata somo ambalo hutoka kosea tena.
Mungu azuie jambo hiloKuna jamaa yangu kanipigia simu anaenda kujiua kwa kujitupa chini ya semi kisa ana covid 19 namtafuta simpati hewani dah sijui anatania au nikweli
Amina1Timotheo 6:7
Kwa maana hatukuja na kitu cho chote hapa duniani, wala hatuwezi kutoka na kitu.
Nafunga lindo
Ndio nini kuibuka nikiwa kwenye process za kufunga ulinzi shirikishi?
Ndo nmeamka sasaNdio nini kuibuka nikiwa kwenye process za kufunga ulinzi shirikishi?
Vp umeamka salama lakini?Ndo nmeamka sasa
Salama tu namshukuru Mungu kuona siku mpya vipi wewe ?Vp umeamka salama lakini?
Nipo kamili kabisa najiandaa kwa unyenyekevu na utiifu kufunga lindoSalama tu namshukuru Mungu kuona siku mpya vipi wewe ?
Sawa funga tu muda umefikaNipo kamili kabisa najiandaa kwa unyenyekevu na utiifu kufunga lindo
Kama utabaki, itakuwa at your own risk. Nikutakie siku njema na yenye baraka tele. Tuonane jioni.Sawa funga tu muda umefika
Siku njema kwako piaKama utabaki, itakuwa at your own risk. Nikutakie siku njema na yenye baraka tele. Tuonane jioni.
Matumaini umeamka salamaHili jukumu muhimu sana. Mlinzi kulala Lindoni ni kosa kubwa sana
Kabisa mkuu, wewe huko vipi?