Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
kweli huu msosi wa chips ni wawatu wa kino nimekula saa 3 saiz nasikia njaa 😢
michezo yetu siunaijua hide and seek mnafunuana huko mapema hata kabla hamjabalee nyuma ya mlango huko.I see. Unajua kwa jamii yetu ni aghalabu sana kusikia me anajitangaza kuwa na bikra
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Pika nguna mzeekweli huu msosi wa chips ni wawatu wa kino nimekula saa 3 saiz nasikia njaa![]()
That's truemichezo yetu siunaijua hide and seek mnafunuana huko mapema hata kabla hamjabalee nyuma ya mlango huko.
nilikuwa na stress mzee nikatafuna tu hivyo viazi.Pika nguna mzee
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
maisha magumu chumba kimoja uswailini unachungulia michezo ya ajabu muda kama huu kesho unajalibisha tofauti nawazungu kablaujazaliwa tu mama na mimbaushatengwa room yako mapema.That's true
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Stress tena mzee? Mwambie huyo Hamida asikufanyie hivyonilikuwa na stress mzee nikatafuna tu hivyo viazi.
Kwelimaisha magumu chumba kimoja uswailini unachungulia michezo ya ajabu muda kama huu kesho unajalibisha tofauti nawazungu kablaujazaliwa tu mama na mimbaushatengwa room yako mapema.
🤣 🤣 🤣 🤣 hakuna mwanamke anayesumbua hii kichwa kabisa stress za mapenzi hazinisumbui saiz mm.
The 100 uliangalia?
Ushakuwa sugu sio![]()
![]()
![]()
hakuna mwanamke anayesumbua hii kichwa kabisa stress za mapenzi hazinisumbui saiz mm.
Nimedownload season 2. Kuna kazi naifanya ikiisha tu naanza na hiyoThe 100 uliangalia?
kuna vitu kibao vyakufanya alafu bado nilete utoto naweka pembeni tu haya mambo.
utaniambia basi ukishaangalia.Nimedownload season 2. Kuna kazi naifanya ikiisha tu naanza na hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
I see. Mzee mapenzi yana run duniakuna vitu kibao vyakufanya alafu bado nilete utoto naweka pembeni tu haya mambo.
🤣 🤣 🤣 sio dunia yangu.
week ilioisha niliangalia BLOODSHOT ya vin disel mbaya kafeli kucheza ile movie.
Ni ya hovyo sanaweek ilioisha niliangalia BLOODSHOT ya vin disel mbaya kafeli kucheza ile movie.