Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Ndoto!? Hapana bora nitoboe tu (naziogopa ndoto mmlalia tumbo tu...usingizi utakuja na ndoto za kutisha
Ndoto!? Hapana bora nitoboe tu (naziogopa ndoto mmlalia tumbo tu...usingizi utakuja na ndoto za kutisha
Wewe mtoto mdogo sanaLeo nimekupata nina options mbili nipate payback yangu au nikaushe!


Mmechelewa ..nalalaNashukuru kumbe unakumbuka na ww, zamu ya nani leo...........


ha ha ha haunataka niagize popo au wachawi
Mwache maneno tu yanaweza geuka upepo wa kisulisuli ukamzoaTatizo nikisema lazima alazwe huyu
Kama umeshtuka ..hapo ni kitabu au kamovie kakukuchosha macho or unaeza jifunika shuka tu kwa muda utakujaNi jumamosi haina madhara
Nimekaribia mkuu.
Wasalimie ndotoniMmechelewa ..nalala![]()
kuna ndoto zingine zinatisha balaaNdoto!? Hapana bora nitoboe tu (naziogopa ndoto mm
Nitajaribu opt ya kujifunika shukaKama umeshtuka ..hapo ni kitabu au kamovie kakukuchosha macho or unaeza jifunika shuka tu kwa muda utakuja
Brother Super Villain unaijua hali yangu.. nikizima utatafutwaZamu ya simiss
Mwache maneno tu yanaweza geuka upepo wa kisulisuli ukamzoa














Dah we mwanamke unautani mbaya sanaAhh wapi ww ukose heels karenasema hv hizo heeels ugonjwa wa taifa


Huyu dude hawatampata atakimbilia chole hukoBrother Super Villain unaijua hali yangu.. nikizima utatafutwa
Mungu mwema niko salama sana.Una bahti ndo natoka saa hii..ningekesha na wewe
Hope upo njema brother angu
Miguu sina ya hizo viatuAhh wapi ww ukose heels kare![]()