Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,211
- 40,659
Kesho nitaenda serikali za mitaa nijue kabla sijaanza mbinu zangu za kivitawengine wanajenga bila vibali
Kesho nitaenda serikali za mitaa nijue kabla sijaanza mbinu zangu za kivitawengine wanajenga bila vibali
Hii ngoma inatukosesha raha kabisa yaan kuna vitu vinapungua kabisa kutokana na hii kitu.Si kuzuri kabisa,japo sikuipata hiyo covid19 labda wachina wakija na covid20 pro
Kesho nitaenda serikali za mitaa nijue kabla sijaanza mbinu zangu za kivita
Daah kama Boris Johnson kanasa,najiuliza sisi wa Tandale kea mtogole itakuwajeHii ngoma inatukosesha raha kabisa yaan kuna vitu vinapungua kabisa kutokana na hii kitu.
Noise pollution unaijua?Acha ukorofi mkuu.. waache watu waishushe mbingu duniani pengine Mungu atatuepusha na chinese virus
ha ha ha watakuona mchawiKesho nitaenda serikali za mitaa nijue kabla sijaanza mbinu zangu za kivita
ww sindio umesema mm na mchumba saiz napiga tena mikwara chagua hospitali ya kulazwa Aga khan, shalom, mazimbu au mafigaSi unaona hadi Goddess kakimbia kwa kunishuhudia uongo af saa hii unanipiga mikwara

Bora mara 100,nimechoka hapa makelele ya kutosha....ha ha ha watakuona mchawi
Mungu atatusaidia tu alafu huu ugonjwa unapenda watu wazito kweli yaan.Daah kama Boris Johnson kanasa,najiuliza sisi wa Tandale kea mtogole itakuwaje
ha ha ha huo ndio uanaume;mwanaume majukumu
Mungu fundiMungu atatusaidia tu alafu huu ugonjwa unapenda watu wazito kweli yaan.
Unajua mr super na wivu wake anaeza nitumia hata kitabu kilichopigiwa chafya na mgonjwa wa corona






Ah kwendra marlezo ni haya yapo hvAah we nyosha hayo maelezo unataka na hii iwedebate tena![]()
Noise pollution unaijua?
Hahahahawako experienced wanachapa kimya kimya
ww sindio umesema mm na mchumba saiz napiga tena mikwara chagua hospitali ya kulazwa Aga khan, shalom, mazimbu au mafiga![]()
Si umepona kabisa
Acha tu kuna vitu vingine havielezeki yataka moyo sana kusema na nihatari pia.Mungu fundi