Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,210
- 40,652
0053 yaani kuna kanisa la kilokole hapa karibu wameanzisha huo mziki wake hakuna kulala....then wako kama wanne tu....nimekumbuka Sophia Mjema kwakweli01:40
0053 yaani kuna kanisa la kilokole hapa karibu wameanzisha huo mziki wake hakuna kulala....then wako kama wanne tu....nimekumbuka Sophia Mjema kwakweli01:40
Naingia mara chache sana labda once per week au zaidi
Hapa kwema.Hope wote mko poa hapa lindoni
Achana nae huyu mtu.. samaki samaki naendaje mimi muda huu![]()
si unakuja na ile private kupata soup ya brocoliha ha ha binadamu ni kusaidianaNaogopa sitakiiii, no that was too much for me. Thank God tuko kwa holiday kwa lazima
"My pain may be the reason for somebody's laugh,but my laugh must never be the reason for somebody's pain"
Charlie Chaplin
Nakuelewa wakishuaMzee si wajua hali si hali
inategemea na mtu husika
kunusa ujue which is which ndo shida inapoanziaVema mkuuHapa kwema.
wanakuombea uvuke salama 20200053 yaani kuna kanisa la kilokole hapa karibu wameanzisha huo mziki wake hakuna kulala....then wako kama wanne tu....nimekumbuka Sophia Mjema kwakweli
si unakuja na ile private kupata soup ya brocoli
Mm sielew hata hio sanitizer tu sijawahi igusa wana sabuni wananikera tuOkay, vyema.
I hope you are taking all precautions about tnis Corona thing
Changamka sasa faster
ntakuja asee ....si hapo ukivuka maji tu
hata usipovuka kuna kwingine huku unafika hapha ha ha wale wanaobembeleza sana ndio wenye shidakunusa ujue which is which ndo shida inapoanzia
Hautarlewa siku1 ni mambo magumu ila.marahisi sanaChangamka sasa faster
I'm a Christian ila hii ni fujo,kesho lazima nipite serikali za mitaa,mtu umetoka huko umechoka,hata kupumzika huweziwanakuombea uvuke salama 2020
Wale wasiobembeleza nao shidaha ha ha wale wanaobembeleza sana ndio wenye shida
Kitambo sana mzee wangu hauonekani au ulikuwa karantini?Vema mkuu
Doh pole sana baharia