Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
OkyNilijaribu yy mwenye anajua nn kilitokea.

OkyNilijaribu yy mwenye anajua nn kilitokea.

Inawezekana japo inabidi tumuone akiwa ametupia suti zake za yellowNashera mbona kama pamechoka sana siku hizi. Au kwa sababu ni mzee wa suti
Kuwa mpole mdogo angu .. ushaharibu cv.. hapa tuna kazi ya kukuombea msamaha pm ndugu zako .usiweke jeuri



Nyie undugu umekufa rasmi mjue.upo sahihi kabisa
kumbe nimepatiaHapana tutaenda pale gorofani nikawaue kabisa nyie watu.


sio kwa kutusukuma kishujaa lakini na bhasi hii iwe ahadi uya ukweliHuyo kwenye sio wewe ujue. Tunamaisha yetu kule Kihonda Morogoro sisi



Unapajua kihonda ww?Ndio alikuwa anakupeleka hapo?Mara mwisho kaenda hapo nahisi ni 2015![]()
Undugu hauvunjwi.. tutakomaa na ww hadi upunguze fixNyie undugu umekufa rasmi mjue.

Sijawahi ishi moro hata kwa siku moja dear

Alinambia ndo kiwanja chake akifika moro.. asa mbona kila file inacorrupt au na Super Villain ni yahaya



Kabisa chukua Guava ujipongeze sasa.kumbe nimepatia
Kabisa chukua Guava ujipongeze sasa.
nah am taking grapeswe gorofani huwezi kwenda palesio kwa kutusukuma kishujaa lakini na bhasi hii iwe ahadi uya ukweli

Hapa nakataa. Hata hukuthubutuNilijaribu yy mwenye anajua nn kilitokea.
Undugu hauvunjwi.. tutakomaa na ww hadi upunguze fix![]()



Nyie sio ndugu zangu kuanzia saiz ignore itawahusu mjue.Najua wazee wa suti huwa mnapenda sana live band, tutakwenda kambarage au pale terminal pubHapana tutaenda pale gorofani nikawaue kabisa nyie watu.